Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, June 7, 2011
Wagonjwa wa akili
Wagonjwa wa akili walipanga kutoroka hospitali.
Walipanga wamvamie mlinzi wampige watoroke.
Walipofika mlangoni wakakuta mlango wazi na mlinzi hayupo. Wakanena ''dah mpango wetu wa kutoroka ushafeli'' basi waka wakaghairi.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment