Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Thursday, June 9, 2011
Wagonjwa wa akili
Wagonjwa wa akili wawili walisimamishwa ghorofani kisha wakaambiwa wakojoe kuelekea chini.
Wa kwanza akasema "dokta parefu bwana mkojo wangu utaumia"
Wa pili akasema "naogopa wataudaka wapita njia na kunivuta chini bure nikafa"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment