Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, June 12, 2011
Za hospitali
Jamaa akimsimulia mwenzake jambo "tulipokuwa hospitali marafiki walikuja kuniona na kuniuliza 'how are you?"
Jamaa akaendelea kuonge tena "Walipokuja washkaji zangu wa karibu wakaniuliza 'vipi nesi wa ukweli?"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment