Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Thursday, July 28, 2011
Kwenda nyumbani
Mwalimu alinena darasani
Mwalimu: Atakaejibu swali lifuatalo ndio ataenda nyumbani.
Mwanafunzi mmoja akatupa begi lake nje kupitia dirisha.
Mwalimu: Nani katupa begi nje?
Mwanafunzi akajibu: Mimi hapa mwalimu, naweza kenda nyumbani sasa?
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment