Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, July 19, 2011
Msibani na siasa
Mwanasiasa mmoja alienda hudhuria msiba, na kwa vile alikuwa mtu maharufu eneo hilo alipata wasaa wa kunena jambo kuhusu rafiki yake marehemu hali ikawa hivi alipoanza kunena jambo "msiba oyee?"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment