Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, August 7, 2011
Gari inaoshwa
Mzee mmoja alimuagiza mwanae mdogo wa kiume amuoshee gari yake akamuambia "itakate umesikia?" Baada ya muda baba mtu akatoka akamuona baba mwanae anaosha gari na maji ya moto kumuuliza dogo akajibu "si ili itakate baba"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment