Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, August 27, 2011
Jamaa na familia yake walienda kutoa mahari mida ya saa moja moja hivi kagiza kameanza kuingia, ghafla umeme ukakatika, mkwe akatamka kwa waliokuja kutoa mahari "pia tulisahau kujumuisha kwenye list ya mahari, jenereta pia linahitajika..."
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment