Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, August 16, 2011
Kazi ipo
Jamaa alimuuliza rafiki yake ampe ushauri kabla hajaingia kwenye dimbwi la kuitwa mwana-ndoa "eti kaka kitu gani cha kufanya mwanamke awe na furaha maisha ya ndoa"
Rafiki akamjibu "mpende sana mkeo na usijaribu kumu-elewa kuhusu wanawawake"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment