Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, August 19, 2011
Mafuta darasani
Mwalimu akifundisha, kamuona mwanafunzi anapaka mafuta kichwani.
Mwalimu: Wee kwanini unapaka mafuta kichwani?
Mwanafunzi: Jana usiku nlisikia baba akimuambia mama paka mafuta kichwa kama haiingii. Napaka ili somo liingie.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment