Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, August 29, 2011
Mzee kwa dokta
Mzee: Dokta mkono wangu wa kushoto unauma sana!
Dokta: Usihofu ni hali ya uzee tu hiyo.
Mzee: Kama ndio hivyo mbona na wa kulia pia unauma?
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment