Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, August 12, 2011
Pombe bwana
Jamaa mmoja baada ya ku-pombeka vya kutosha ugenini mkoa fulani nchini Tanzania alipangisha kwenye hoteli moja ya ghorofa kadhaa. Sasa baada ya kulewa chakari akapanda Bajaj na kumuambia dereva wa bajaj "nipeleke ghorofa ya tano"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment