Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, August 27, 2011
Samaki
Kijana mmoja alinunua samaki wawili wa kufuga akawapa majina mmoja A mwingine B. Rafiki ake akamuuliza "sa kwa nini umewapa majina hayo?" Akajibiwa "ili akifa A bado ntabaki na B"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment