Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, August 15, 2011
Uoga huu....?
Mwanaume mmoja alisikika akisema "Mke wangu muoga kweli, hadi maji eti anaogopa" Mwenzake akamuuliza "kivipi?"
Njemba akajibu: Si kila nikirudi namkuta akioga na mlinzi wetu.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment