Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, August 14, 2011
Vimbwanga
Mlevi mmoja aliingia choo cha kike, akawa anakojoa huku amekaa chini mtu akamkuta na kumuuliza "vipi?" Mlevi bila hiyana akajibu "wee huoni tangazo limeandikwa kaa chini wakati wa kukojoa" (choo ni kile kukaa).
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment