Tuesday, September 6, 2011

Jinyonge...

Jamaa mmoja alienda porini kwa nia ya kujinyonga, akaifunga kamba yake vizuuri, ile anataka kutumbikiza kichwa kwenye kitanzi tu mtini hapo hapo akamuona nyoka... Kilichofuata alitimua mbio za kutosha.

No comments:

Post a Comment