Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, September 30, 2011
Kwa kinyozi
Njemba ilienda kwa kinyozi na kuuliza "kinyozi ndevu shilingi ngapi?" Kinyozi akamjibu "400Tsh tu"
Njemba ikajibu "ok nifungie za 800Tsh"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment