Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, September 19, 2011
Mlevi na mkojo
Jamaa alilewa, baadae aliposhtuka akahisi amebanwa na mkojo na alivyokua anakojoa huku anajamba mlevi mwenzie akumuliza "mbona unakojoa na kujamba jamba? naye akamjibu kuwa "uliona wapi mvua ikinyesha bila radi kupiga?? We mwendawazimu nini?"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment