Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, October 24, 2011
Choo cha mbwa
Mtoto mmoja alimuuliza baba ake "baba yule jirani yetu kwa nini anatumia choo kimoja na mbwa wake?" Baba ake akamuuliza "kivipi mwanangu sijakuelewa?" Mtoto akaiju "namuonaga akienda kukojoa pale kwenye ule mti kila siku na mbwa pia hapo hapo."
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment