Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, October 17, 2011
Kuibiwa baiskeli
Jamaa alienda Tanga akaibiwa baiskeli, kuulizia hakuipata. Basi akanena "inshallah ntafanya kama alivyofanys babu"
Vijana waliposikia wakamrudishia na kumuuliza "babu yako alifanya nini?" Jamaa akajibu "alishukuru Mungu akanunua ingine"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment