Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, October 25, 2011
Mkulima mmoja alifungua akaunti sasa alipopata kadi akaenda ATM alipocheki balance akazimia. Siku ya pili tena akazimia, ya tatu akapata wa kumsomea salio kumbe mkulima akiona namba ya akaunti ndio akidhani fedha.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment