Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, October 29, 2011
Mnyalukolo
Jamaa kwenye daladala pembeni kuma dada alianza kwa kumsalimia halafu akamuuliza "Samahani dada unaitwa google?" Dada akamjibu "hapana, n kwanini umedhani naitwa
hivyo?" Jamaa akamjibu "maana una kila kitu nnachokitafuta"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment