Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, October 14, 2011
Vijana na mabishano
Kulikua na vijana watatu, wa kwanz akaangusha saa yake toka ghorofa moja hadi chini ikabomoka, wa pili na e ivo ivo. Aliporusha wa tatu haikubomoka wakamuuliza "imekuwaje?" Jamaa akawajibu "saa yangu iko nyuma dakika 5"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment