Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, November 12, 2011
Mifupa ya binadamu
Jamaa akipewa majibu na daktari wake baada ya uchunguzi "inaonekana mifupa ya miguuni mwako imekua laini sana saasa..." Akamkatisha na kumuambia "shhh taratibu dokta hapo nje kuna mbwa wanne watasikia"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment