Wednesday, November 9, 2011

Ugomvi baba na mama

Mtoto alikua analia nje jamaa mmoja akamkuta na kumuuliza "unalia nini mtoto?"
Katoto kakajibu "wazazi wangu wanapigana ndani?"
Jamaa: Baba yako ni nani?
Mtoto: Ndio icho wanachogombana ndani.

No comments:

Post a Comment