Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, November 9, 2011
Ugomvi baba na mama
Mtoto alikua analia nje jamaa mmoja akamkuta na kumuuliza "unalia nini mtoto?"
Katoto kakajibu "wazazi wangu wanapigana ndani?"
Jamaa: Baba yako ni nani?
Mtoto: Ndio icho wanachogombana ndani.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment