Monday, November 14, 2011

Ugomvi mke na mume

Mke akifoka kwa sauti "ushukuru baba yangu ndio katoa pesa ukanunua flat screen, gari na furniture vinginevyo usingekuwa na jeuri #$€$$%*+=."

Mume nae akajibu "ushukuru baba ako katoa hizo pesa vinginevyo nsingekuwa hapa... #€*+"

No comments:

Post a Comment