Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, November 13, 2011
Urithi saluni
Mzee mmoja kutokana na umri aliamua kumpa mwanae saluni yake aiendeshe. Akampa maneno yafuatayo "mwanangu hii kazi inabidi uwe makini sana, wateja wengine wakali na wanatabia ya kugeuka ghafla hivyo angalia usijikate na wembe"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment