Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Thursday, December 22, 2011
"Diet"
Jamaa akipewa ushauri na dokta "sasa uanze diet, pata yai 1 tu na nusu kikombe cha maziwa"
Mpewa ushauri akauliza "sawa dokta, nifanye ivyo kabla au baada ya lunch?"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment