Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, December 27, 2011
Duka la madawa
Dukani yanapouzwa madawa:
Mteja: aunauza hii dawa?
Muuzaji: Ndio.
Mteja: Ni feki hii na sumu.
Muuzaji: Lakini hamna alielalamika kabisa.
Mteja: Uliona wapi maiti inalalamika?
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment