Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, December 7, 2011
Kibweka kanisani
Jamaa mmoja alikua anampenda sana dada mmoja. Akamfuata mpaka kanisani, ilipofika wakati wa kutoa sadaka jamaa akamuwahi dada na kumuambia "ohh kuhusu sadaka acha tu ntakutolea"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment