Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, December 16, 2011
Kituo cha polisi
Kijana alipofika kituo cha polisi.
Kijana: Nimekuja uliza, hao kwenye picha ukutani ni akina nani?
Polisi: Hawa watuhumiwa sugu wanatafutwa na polisi.
Kijana: Khaa! Nyie wazembe sa si mngewakamata wakati mnawapiga izo picha!?
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment