Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, December 11, 2011
Kwenye daladala
Mlokole mmoja alipanda Daladala moja
ambayo ulikuwa inatwanga mziki Wa kidunia
kwa kwenda mbele,Mlokole: nyimbo gani mnapiga hizo, wekeni nyimbo
za Yesu"Kond a akamjibu... ..."Yesu bado
hajatoa albamu.... .."
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment