Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, December 24, 2011
Mpenda bia
Jamaa: Ndugu yangu kwa nini unapenda sana bia?
Mlevi: We hujui? Bia ni tamu mno.
Jamaa: Tamu mno kama nini sasa?
Mlevi: Tamu kama bia.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment