Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, December 2, 2011
Msiba wa kipenzi
Mwanamke mmoja alifiwa na mumewe kipenzi, siku ya mazishi akaomba msaada mmoja akisema "naombeni mumzike na hii simu yake na chaja niwe nawasiliana nae." Kisha akakumbuka jambo "aahh umeme wa kuchajia hata kuwa nao."
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment