Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, January 15, 2012
Afadhali sija...
Jamaa akitembea njiani ghafla aliona asichokielewa akasimama na kugusa na kidole akalamba kupata testi. Akagundua kua ni poo (haja) ya mbwa kisha akanena "doh afadhali sijakikanyaga" ...lakini amekionja...
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment