Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, January 13, 2012
Dah aibu kusema
Njemba moja ilikua na korodani 3 alipofika kwa dokta kwa aibu ilimbidi aongee hivi:
Njemba: Dokta, kwa mfano mimi na wewe jumla tuwe na korodani 5...
Kabla hajamalizia dokta akadakia
Dokta: Usiniambie wewe unazo nne jumla?
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment