Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, January 13, 2012
Faida za maziwa ya mama
Kijana alikua kwenye mtihani, moja ya swali aliuliza faida 3 za maziwa ya mama akajibu:
a) Yana rutuba kwa afya ya mtoto.
b) Hayapatwi na bacteria.
c) Yapo kwenye kibebeo kinachovutia wanaume.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment