Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Thursday, January 19, 2012
Imekuwaje tena?
Mwanamke mmoja alimnasa kibao cha uhakika mwanaume mmoja, jamaa wa pembeni akasogea kuuliza "vipi kaka mbona makofi hadharani?"
Jamaa aliepigwa akajibu "si fulana yake imeandikwa maeneo ya kifuani "gusa taratibu" ndio yaliyonisibu baada ya kugusa"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment