Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, January 16, 2012
Malavi davi
Jamaa aliandika sms kwa mchuchu wake ifuatavyo.
Kama unatabasamu ntumie tabasamu lako.
Kama umelala ntumie ndoto uiotayo.
Kama unalia nitumie machozi yako.
Mwanadada akajibu ifuatavyo:
"nipo chooni je nitume chochote"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment