Monday, January 16, 2012

Malavi davi

Jamaa aliandika sms kwa mchuchu wake ifuatavyo.

Kama unatabasamu ntumie tabasamu lako.
Kama umelala ntumie ndoto uiotayo.
Kama unalia nitumie machozi yako.

Mwanadada akajibu ifuatavyo:
"nipo chooni je nitume chochote"

No comments:

Post a Comment