Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, January 11, 2012
Mgojwa hasira
Mgonjwa: Dokta nnasumbuliwa sana na hasira za mara kwa mara hata jambo dogo tu mi ni hasira.
Dokta: Tatizo haswa ni nini?
Mgonjwa: Si nimeshakuambia pumbavu zako unakua kama mwehu bwana.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment