Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, January 11, 2012
Mwizi
Jamaa alikua akiandika meseji kwa boss wake akiwa katika daladala kuwa atachelewa kidogo kazini. Ghafla alipomaliza kuandika mwizi akaikwapua jamaa badala ya kuita mwizi... Mwizii akamuambia "bonyeza send, bonyeza send..."
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment