Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, January 9, 2012
Nyoka na panya
Nyoka: Oya vipi mbona unaniangalia sana?
Panya: Mbona unajistukia?
Nyoka: Muone ndo maana una ndevu...
Panya: Bora mie, we kubwa zima watambaa hadi leo.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment