Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, January 13, 2012
Tangazo kwa abiria
Wakiwa angani tangazo kwenye ndege lilitolewa kama ifuatavyo "mabibi na mabwana tunaomba radhi safari yetu leo itachelewa dakika 7 zaidi, hii ni kulingana na rubani tulie nae leo ni mgeni wa njia pia ni kipofu..."
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment