Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, February 10, 2012
55
Mwalimu aliwaambia wanafunzi wa chekechea waandike namba 55.
Mwanafunzi mmoja akaandika 5 akawa kaganda tu.
Mwalimu akamuuliza mbona huandiki ingine?
Mwanafunzi akajibu "mwalimu sijui niandike upande gani, kwa mbele au kwa nyuma?"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment