Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Thursday, February 9, 2012
Bidhaa gani?
Mwalimu: Ni bidhaa gani tunaipata kutoka mtibwa?
Mwanafunzi: Hata sijui mwalimu.
Mwalimu: Wewe ina maana hamnunui sukari?
Mwanafunzi: Hatununui tunaombaga kwa jirani
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment