Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Thursday, February 2, 2012
Kupanda na...
Jamaa mmoja alitoka kijijini akaja mjini Dar es Salaam. Siku moja wakati ameenda kupanda daladala kabla hajapanda akamuuliza konda "kondakta samahani naruhusiwa kupanda na viatu?"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment