Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, February 15, 2012
Majibu...
Nesi alitoka leba na kumpa majibu mume wa mama aliepo leba.
Nesi: Hongera sana mkeo kajifungua watoto watatu wenye afya nzuri.
Mume: Nilijua tu ona sasa hao watoto wa ziada wawili ni wa nani?
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment