Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, February 22, 2012
Mawazo ya mtoto
Mtoto: Baba na mama nimemleta fundi yupo hapo nje anawaaubiri"
Baba akadakia "mimi nimekuagiza au mama yako?"
Mtoto: Hamna alieagiza, mimi nimemleta awatengenezee kitanda chenu kina kelele sana usiku kulala shida."
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment