Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, February 12, 2012
Msiba wa tembo
"Mbona unalia?" Mtoto aliulizwa.
Akajibu "tembo amekufa"
"alikua mnyama wako?"
Mtoto akajibu "hapana mimi ndio wa kumchimbia kaburi"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment