Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, March 2, 2012
Amechelewa shule
Mwalimu: Wewe mbona umechelewa shule?
Mtoto: Baba na mama walikua wanapigana.
Mwalimu: Sasa wanahusiana nini na kuchelewa kwako?
Mtoto: Mama alikua anatumia kiatu changu kupigana, baba ndio anaeniletaga na gari shule.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment