Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Thursday, March 22, 2012
Baba na mwana
Baba: Jumaa...
Mtoto: Eeh baba.
Baba: Niletee kiberiti.
Mtoto: Cha sigara au bangi?
Baba: Shika adabu yako, cha sigara.
Mtoto: Cha baridi cha moto?
Baba: We leta kiberiti chochote.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment